Vita dhidi ya ufisadi ni chachu kwa SDGs
Rushwa ni adui wa haki, ni kauli ambayo hii leo imepatiwa mkazo wakati wa maadhimisho ya miaka 15 ya mkataba wa kimataifa wa kupambana na rushwa duniani.
Rushwa ni adui wa haki, ni kauli ambayo hii leo imepatiwa mkazo wakati wa maadhimisho ya miaka 15 ya mkataba wa kimataifa wa kupambana na rushwa duniani.
Jumuiya ya kimataifa na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wanaimarisha juhudi za kudhibiti mlipuko wa Ebola kwenye jimbo la Equateur nchini humo.
Korea Kusini imeshauriwa kubadili sera yake kuhusu makazi na wasio na makazi ili kuweza kufikia viwango vinavyohitajika sasa vya haki za binadamu.
Wajumbe wa mkutano wa Baraza Kuu la shirika la afya ulimwenguni, WHO wameridhia mpango mpya wa mkakati wa miaka mitano wenye lengo la kusaidia kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu SDGs.
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kutokomeza fistula, Umoja wa Mataifa nchini Tanzania umesema kuna matumaini makubwa ya kuondokana na adha hiyo ya kiafya kwa wanawake na wasichana licha ya changamoto zilizopo.
Baada ya vuta nikuvute katika mkutano wa ngazi ya juu mjini Addis Ababa, Ethiopia kuhusu suluhisho la amani ya kudumu Sudan kusini, hatimaye pande zote kinzani zimefikia muafaka wa mchakato huo.
Dunia inarudi nyuma katika masuala ya haki za binadamu na misingi yake inavurugwa kila upande wa dunia hii, ameonya Jumanne, afisa wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa,na kumhimiza kila mtu popote alipo kuonyesha azma ya kujitolea katika kulinda haki hizo.
Mizozo kote duniani inaibua vitisho na machungu kwa mamilioni ya raia wakiwemo wanawake, wasichana, wanaume, wavulana na watoto.
Tume ya sheria ya Umoja wa Mataifa mwaka huu inatimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwake ambapo imeelezwa kuwa uwepo wake umekuwa na mafanikio makubwa.
Umoja wa Mataifa leo umetoa wito kwa serikali ya Algeria kusitisha vitendo vya kuwafukuza kwa pamoja wahamiaji hususani kutoka Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Ingawa idadi kamili ya waliotimuliwa haijajulikana inaaminika ni maelfu ya wahamiaji.