Kumbukumbu juu ya kikao cha 2007 cha Tume ya Kudumu ya UM juu ya Haki za Wenyeji wa Asili
Makala yetu wiki hii itazingatia maoni ya Catherine Mututua, anayewakilisha shirika lisio la kiserekali la Kenya linaloitwa NAMAYANA kuhusu kikao cha sita cha Tume ya UM juu ya Haki za Wenyeji wa Asili Duniani, ambaye anaelezea matarajio aliokuwa nayo juu ya uwezekano wa kuwatekelezea wenyeji hao haki zao kamili katika siku zijazo.