Eneo la Katwa, Kivu Kaskazini, linaongoza kwa visa vya Ebola-WHO
Shirika la Afya duniani WHO linasema kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa wa Ebola kwenye jimbo la Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, DRC na eneo la Katwa linaongoza kwa maambukizi zaidi.