Hongera Antigua na Barbuda kwa kupiga marufuku matumizi ya mara moja ya plastiki:PGA
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa leo amekaribisha azimio jipya lililopitishwa nchini Antigua na Barbuda la kuchukua hatua dhidi ya matumizi ya mara moja plastiki ambazo huchafua mazingira.