Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Chanjo dhidi ya Ebola  kwa wahudumu wa afya  Mashariki mwa DRC  jimboni Kivu Kaskazini.
WHO-Eugene Kabambi

Uganda imewekeza dola milioni 18 kujianda dhidi ya ebola

Serikali ya Uganda na wadau wengine wamewekeza dola milioni 18 kwa ajili ya kujiandaa kukabiliana na ugonjwa wa ebola. Taarifa za shirika la afya ulimwenguni, WHO zinasema fedha hizo ni kwa ajili ya kuandaa mikakati mbali mbali ikiwemo kuwandaa watoa huduma wa afya 526 katika wilaya 14 waliopatiwa mafunzo kuhusu namna ya kuhudumia watu wanaoshukiwa kuwa na ebola huku wakijikinga.