Mauaji DRC yahusisha walinda amani wa UN, Katibu Mkuu Guterres ahimiza hatua zichukuliwe
Katibu Mkuu António Guterres, kwa mujibu wa Naibu Msemaji wake, "amekasirishwa" na "tukio baya" la mauaji lililotokea leo Jumapili asubuhi kwenye mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).