Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

DR Congo

Watoto nchini Sudan Kusini wakiwa wamepanga foleni ili kupata maji ya kunywa kwenye kituo cha Umoja wa Mataifa cha ulinzi wa raia huko mjini Malakal nchini Sudan Kusini.
© UNICEF/Sebastian Rich

Shule nyingi duniani hazina maji safi na salama ya kunywa- Ripoti

Je shule anayosoma mwanao ina huduma za maji ya kunywa na vyoo? Au je shule uliyosoma iwe  ya awali, msingi au sekondari ilikuwa na huduma hizo muhimu za msingi? Ripoti ya kwanza kabisa inayofuatialia huduma hizo inaonyesha hali mbaya na ya kusikitisha. Kuna shule za msingi hazina kabisa vyoo, maji wala huduma za kujisafi.

Sauti
1'50"
Timu ya kutoa chanjo dhidi ya Ebola iliyopiga kambi huko kijiji cha Iboko, wakiwa na pipa lenye chanjo wakielekea eneo la Bisolo. Hii ni tarehe 20 juni 2018
WHO/Lindsay Mackenzie

MONUSCO yasindikiza watoa huduma dhidi ya Ebola, DRC

Msafara wa wahudumu wa afya wanaokabiliana na ugonjwa wa Ebola huko jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC wamelazimika kuambatana na msafara wa walinda amani wa Umoja wa Mataifa ili kuweza kufikia mji wa Oicha ambako kisa kipya cha Ebola kimeripotiwa.