Neno la wiki: Kishida na Kibiriti Ngoma
Katika neno la wiki hii leo tunaangazia maneno “Kishida na Kibiriti Ngoma”. Mchambuzi wetu ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.
Nuhu anasema "Kishida" ni gauni kifupi au kirinda nyepesi kinachovaliwa usiku na mwanamke au msichana anapolala au kinachovaliwa ndani ya nguo, Kibiriti Ngoma ni "mini_skirt" au rinda fupi...