Neno la wiki: Chakari au mwanamajiri
Katika neno la wiki hii leo tunaangazia maneno Chakari au mwanamajiri. Mchambuzi wetu ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA