Neno la wiki: Kizazi
Pakua
Wiki hii tunaangazia neno “Kizazi” na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.
Bwana Sigalla anasema neno hili lina maana zaidi ya moja. Ungana naye akuchambulie...
(Sauti ya Bw. Sigalla)