Neno la wiki_Maafikiano na Mkinzano
Pakua
Katika neno la wiki hii leo tunaangazia neno “Maafikiano” na “Mkinzano”. Mchambuzi wetu ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.
Nuhu anasema neno "maafikiano" ni pale ambapo watu wawili au watatu wanashirikiana kimawazo katika mchango wao kuhusu jambo fulani na "Mkinzano" linamaanisha hakuna maelewano au watu wanatofoutiana kimawazo kabisa kuhusu jabo fulani. Ungane naye usikilize uxhambuzi zaidi...