Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la wiki_Maafikiano na Mkinzano

Neno la wiki_Maafikiano na Mkinzano

Pakua

Katika neno la wiki hii leo tunaangazia neno “Maafikiano” na “Mkinzano”.  Mchambuzi wetu  ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.

Nuhu anasema neno "maafikiano" ni pale ambapo watu wawili au watatu wanashirikiana kimawazo katika mchango wao kuhusu jambo fulani na "Mkinzano" linamaanisha hakuna maelewano au watu wanatofoutiana kimawazo kabisa kuhusu jabo fulani.  Ungane naye usikilize uxhambuzi zaidi...

Photo Credit
Neno la wiki_Maafikiano na Mkinzano