Neno la wiki-MANUVA
Tunaangazia maana ya neno "MANUVA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Tunaangazia maana ya neno "MANUVA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Neno la wiki leo tunaenda Uganda kwa Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo kufafanua maana ya methali "DUNIA MTI MKAVU UKIIELEMEA ITAKUBWAGA"
Leo tunaangazia maana za neno "VUVIA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Neno la wiki ni methali "Lisemwalo lipo kama halipo laja" mchambuzi ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Neno "KIRUKA NJIA" na mchambuzi ni mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Leo katika kujifunza Kiswahili katika Neno la wiki, Dkt. Mwanahija Ali Juma kutoka BAKIZA anafafanua maana ya neno "PAKACHA"
Na sasa ni wakati wa kujifunza Kiswahili , Je wafahamu maana ya neno "UNYARUBANJA" basi ungana na mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania , BAKITA kwa ufafanuzi
Sasa ni Neno la wiki ambapo leo tutajifunza maana ya methali "Ujana ni Moshi" na mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Na sasa ni mashinani ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, ZANZIBAR, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya neno NONGWA.
Je wafahamu tofauti za maneno "MRUNDIKANO NA MLUNDIKANO”? basi ungana na mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania , BAKITA kwa ufafanuzi