Neno la wiki- Barakoa
Je wafahamu maana za neno “BARAKOA”? basi ungana mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania, BAKITA kwa ufafanuzi
Je wafahamu maana za neno “BARAKOA”? basi ungana mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania, BAKITA kwa ufafanuzi
Wiki hii katika Neno la Wiki, Bi. Mwanahija Ali Juma Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya neno “UPAKO”. Karibu.
Neno la Wiki hii leo mtaalam wetu mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Onni Sigalla anachambua maana ya neno “PANJA”
Na leo katika Neno la wiki mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani anafafanua maana ya methali Atekaye maji mtoni hatukani mamba
Neno la Wiki hii leo mtaalam wetu mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Onni Sigalla anachambua maana ya neno “HALIFU”
Neno la Wiki hii leo mtaalam wetu katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA Bi. Mwanahija Ali Juma anachambua maana ya methali “Shukran ya punda mateke”
Neno la Wiki hii leo mtaalam wetu mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Onni Sigalla anachambua maana ya neno “MDAKIZI”
Katika Neno la wiki mchambuzi wetu Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani anafafanua maana ya methali Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe
Leo katika kujifundisha Kiswahili tutasikia likichambuliwa neno "Jizatiti" ambapo kwa mujibu wa mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Onni Sigalla anasema kunakuwa na changamoto katika matamshi ya neno hili, ungana naye kwa maelezo zaidi.
Hii leo Ijumaa katika Neno la Wiki, Bi. Mwanahija Ali Juma ambaye ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya methali ukitaka cha uvunguni sharti uiname