Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

UN News Kiswahili

Neno la wiki- Barakoa

 Je wafahamu maana za neno “BARAKOA”? basi ungana mchambuzi wetu Onni Sigalla Mhadhiri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili  la Taifa Tanzania, BAKITA kwa ufafanuzi

 

Sauti
1'4"
UN News Kiswahili

NENO LW WIKI- "JIZATITI"

Leo katika kujifundisha Kiswahili tutasikia likichambuliwa neno "Jizatiti" ambapo kwa mujibu wa mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Onni Sigalla anasema kunakuwa na changamoto katika matamshi ya neno hili, ungana naye kwa maelezo zaidi.

Sauti
48"