Neno la wiki-HAWILI
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "HAWILI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Katika kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa neno "HAWILI" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA
Kwenye neno la wiki leo Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maanda ya methali"Shukrani sana Aida Mutenyo kwa elimu hiyo.
Nam kama ada ya kila ijumaa sasa ni kujifunza Kiswahili katika Neno la wiki ambapo leo tutajifunza maana ya methali "HERI KENDA MKONONI KULIKO KUMI NENDA RUDI" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya
Leo kwenye neno la wiki ambapo Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika Vyuo Vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maana ya methali Adhabu ya kaburi aijuaye Maiti
Hii leo katika Neno la Wiki, Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anatofautisha maana ya maneno 'Hayati' na 'Marehemu'. Katika uchambuzi wake wa maneno hayo yenye etimolojia ya kiarabu, anafafanua tofauti katika matumizi. Karibu!
Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA anachambua maana ya neno TREILA.
Leo katika Neno la wiki tunaangazia methali ambapo Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katikaVyuo Vikuu vya Afrika Mashariki Aida Mutenyo anatufafanulia maana ya methali "Hucheka kovu asiyefikwa na jeraha." Karibu!
Je, methali isemayo "ENGA KABLA YA KUJENGA" ina maana gani? Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo anaeleza.
Na leo kwenye neno la wiki tutajifunza maana ya methali "MZOEA VYA KUNYONGA VYA KUCHINJA HAVIWEZI" na mchambuzi wetu Josephat Gitonga mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Tunaangazia maana ya neno "MANUVA" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA