Kombe la amasaza kiungo muhimu cha kuunganisha jamii Hoima Uganda
Michezo ni moja ya mbinu ambazo zinaweza kutumika katika jamii ili kuendeleza amani na uwiano katika jamii. Nchini Uganda kwa kutambua umuhimu wa michezo, wameanzisha kombe la Amasaza la eneo la ufalme wa Bunyoro. Kombe hilo la Amasaza linaleta pamoja makundi mbalimbali ya jamii na hivyo ni kiungo muhimu katika jamii wilayani Hoima. Basi ungana na John Kibego katika makala ifauatayo ikiangazia kombe hilo.