Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hatua zimepigwa lakini kuna fursa ya kulinda haki za watu wenye ulemavu Tanzania-Lihiru

Hatua zimepigwa lakini kuna fursa ya kulinda haki za watu wenye ulemavu Tanzania-Lihiru

Pakua

Takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO zinakadiria kuwa  takriban asilimia 80% ya watu wenye ulemavu wanaishi katika maisha ya ufukara .

Kwa mantiki hiyo unaendelea kuzichagiza nchi kote duniani  kuhakikisha watu wenye ulemavu wanasaidiwa  na kujumuishwa katika mipango yao ya maendeleo. Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozingatia hilo kwa kupitia kupitia mikakati mbalimbali iliyoweka pamoja na utetezi wa haki za watu wanaoishi na ulemavu.

Ili kupata uelewa zaidi kuhusu suala hilo, Stella Vuzo  wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa, UNIC Dar es Salaam, Tanzania  amezungumza na  Mhadhiri na mtetezi wa watu wenye ulemavu nchini humo , basi unagana nao katika Makala hii kupanda undani zaidi kuhusu masuala hayo

 


Audio Credit
Siraj Kalyango/ Stella Vuso
Audio Duration
3'25"
Photo Credit
© UNHCR/Rose Ogola