Mafunzo ya kukabili mabadiliko ya tabianchi ni ufunguo wa kiuchumi kwa wananchi wa Madagascar
Pakua
Wakati dunia ikishuhudia mwamko wa umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mazingira kwa ajili ya kupunugza athari hasi za mabadiliko ya tabianchi, nuru imeangaza kwa wakazi wa mji wa Mangatsiotra nchini Madagascar kufuatia mradi wa kuwawezesha kukuza mazao yanayostahimili ukame na hivyo kuwa na uhakika wa chakula na pia kuongeza mapato ya wenyeji. Je nini kimefanyika? Ungana basi na Grace Kaneiya kwenye makala ha
Audio Credit
Arnold Kayanda/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'20"