Muziki wa kizazi kipya ndio unauza siku hizi.
Muziki ni kifaa muhimu kinacholeta mabadiliko katika jamii.Muziki unaweza ukawafikia mamilioni ya watu,na kwa kuhamasisha jamii kuhusu changamoto za kijamii, kiuchumi na kimazingira ambavyo ndivyo msingi wa maendeleo endelevu SDGs.