Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baa la njaa lasababisha wanavijiji kukimbia makwao

Baa la njaa lasababisha wanavijiji kukimbia makwao

Pakua

Tatizo la mabadiliko ya tabianchi ni kikwazo kikubwa kwa wanawake viijijini ambako ukosefu wa mvua na ukame vinakwamisha uzalishaji wa mazao, hivyo kufanya maisha kuwa magumu kwa siyo tu kwa wanawake hao bali pia jamii ambazo zinawategemea.

Je ni kwa vipi athari hizo ni mwiba kwa wanawake? Fuatana nami basi Patrick Newman hadi nchini Nepal ambako mabadiliko ya tabianchi yameleta  baa la njaa  katika baadhi ya vijiji na kusababisha baadhi ya wananchi kuhamia nchi za nje, kutafuta maisha bora

Audio Duration
3'36"
Photo Credit
Piacha ya UNICEF/Narendra Shrestha