Jarida 16 September 2021
Katika jarida hii leo utasikia Umoja wa Mataifa umetengeneza darasa maalum katika Makao Makuu yake yaliyoko jijini New York Marekani na kuweka madawati na saa inayoonesha muda ambao wanafunzi wameshindwa kuingia darasani kutokana na janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19.
Pia utasikia kuhusu haki za binadamu nchini Burundi.
Ungana na Assumpta Massoi kusikiliza habari zote kwa undani