Jarida 15 Septemba 2021
Pakua
Katika jarida hii leo utasikia jukwaa maalum lililoanzishwa na shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO kwa ajili ya elimu ya kung'atwa na nyoka. Nchini Senegal mradi wa kunusuru mikoko umesaidia wavuvi kuongeza kipato na nchini Afghanistan ndege za misaada zaanza kushusha chakula na vifaa vya matibabu.
Ungana na Assumpta Massoi kwa undani wa taarifa hizo.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
14'27"