Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 10 Septemba 2021

Jarida 10 Septemba 2021

Pakua

Leo ni siku ya kuzuia kujiua duniani inayoadhimishwa tarehe 10 Septemba kila mwaka ambapo mwaka huu katika kuhakikisha dunia inashughulikia suala hili la afya ya umma kwa dharura Jumuiya za kimataifa zinakutana kujadili kwa pamoja namna bora ya “kuleta matumaini kwa njia ya vitendo”. 

Lakini kama ilivyo ada ya kila ijumaa tunakuletea mada kwa kina ambapo leo tutaelekea mkoani Kigoma, Tanzania kusikia namna athari za mabadiliko ya tabianchi zinavyowaathiri wadau wa uvuvi katika Ziwa Tanganyika.
 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
11'30"