Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida Septemba 03 2021

Jarida Septemba 03 2021

Pakua

Katika jarida hii leo utasikia mahojiano na waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Balozi Liberata Mulamula ambaye amefanya ziara maalum katika Umoja wa Mataifa. Katika mazungumzo yake na Leah Mushi alianza kwa kumuuliza iwapo iwapo rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan atashiriki katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linaloanza tarehe 21 mpaka 27 Septemba 2021.

kwenye kujifunza Kiswahili leo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.Mwanahija Ali Juma anafafanua maana ya maneno "PEMBUA, NYAMBUA NA CHAGUA.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
12'20"