Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 09 Septemba 2021

Jarida 09 Septemba 2021

Pakua

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kulinda maeneo ya shule dhidi ya mashambulizi, Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekemea tabia ya makundi yanayopigana kuvamia maeneo ya shule, kukamata watu mateka  na vikosi vya ulinzi kufanya maeneo ya shule kama sehemu zao za kuweka kambi za mapigano. 

Ungana na Flora Nducha kusikiliza habari hiyo na nyingine nyingi.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'