Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 14 Septemba 2021

Jarida 14 Septemba 2021

Pakua

Hii leo katika jarida tutasikia kuhusu mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA75 unaofungwa rasmi hii leo na kufunguliwa kwa mkutano wa 76 au UNGA76. Rais wake mteule Abdulla Shahid kutoka Maldives amehojiwa na Idhaa ya Umoja wa Mataifa na kusema tumaini ndio limesalia kuwa tegemeo kwa mabilioni ya watu duniani wakati huu wakihaha katikati ya janga la COVID-19, uharibifu wa mazingira, vita na majanga mengineyo. 

kwa habari hiyo na nyingine nyingi ikiwemo sauti kutoka mashinani na makala ungana na Assumpta Massoi 

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
15'6"