UN News

Makala Maalum

Malengo ya Maendeleo Endelevu Maji huzusha vita, huzima moto, na ni muhimu kwa maisha ya binadamu, lakini ili kuhakikisha upatikanaji wa maji ni muhimu kuboresha ushirikiano, kwa mujibu wa ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa Jumanne.

Habari Nyinginezo

Ukuaji wa Kiuchumi Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo ya Biashara, UNCTAD imetoa ripoti yake hii leo kuhusu mwelekeo wa biashara ulimwenguni kwa mwaka 2022 ikitaja mambo chanya na hasi. 
Amani na Usalama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma salamu kwa Waislamu kote duniani akiwatakia kila la heri kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.