Vichwa vya Habari
Makala Maalum
Malengo ya Maendeleo Endelevu
Maji huzusha vita, huzima moto, na ni muhimu kwa maisha ya binadamu, lakini ili kuhakikisha upatikanaji wa maji ni muhimu kuboresha ushirikiano, kwa mujibu wa ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa Jumanne.
Habari kwa Picha
UNICEF yawakinga na baridi kali baadhi ya wanavijiji wa Pakistani walioathiriwa na mafuriko
Miezi minne na nusu tangu kutangazwa kwa hali ya dharura kutokana na mafuriko makubwa yaliyokumba Pakistan kuanzia mwaka jana 2022, bado watu wako katika uhitaji mkubwa wa usaidizi kwa kuzingatia kuwa janga hilo la mafuriko limeambatana na msimu wa baridi. Miongoni mwa mashirika ya Umoja wa Mataifa yanayotoa msaada ni lile la kuhudumia watoto UNICEF.
Habari Nyinginezo
Ukuaji wa Kiuchumi
Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo ya Biashara, UNCTAD imetoa ripoti yake hii leo kuhusu mwelekeo wa biashara ulimwenguni kwa mwaka 2022 ikitaja mambo chanya na hasi.
Amani na Usalama
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma salamu kwa Waislamu kote duniani akiwatakia kila la heri kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.