Vichwa vya Habari
Makala Maalum
Wanawake
Alisaidia watu wenye Malaria lakini ukatili wa kijinsia 'akakwaa kigingi'
Mafunzo ya UNFPA kupitia Spotlight Initiative yakamjengea uwezo
Sasa yeye na familia yake na jamii wanaishi kwa kutumia falsafa ya usawa wa kijinsia
Habari kwa Picha
Kivuko cha Rafah na misaada ya kuokoa uhai Gaza
Kivuko cha Rafah kutoka Misri kuingia Gaza kimekuwa kitovu cha juhudi za kimataifa za kupeleka misaada ya kibinadamu kwa watu waliokata tamaa ambao wameshambuliwa kwa mabomu na ni wakimbizi katika eneo hilo hilililozingirwa.
Habari Nyinginezo
Amani na Usalama
Ukiwatazama watu huko Gaza nyuzo zao zinaonyesha "kiwewe, msongo wa mawazo, huzuni na simazi vikiwa vimekita mizizi ", kwa mujibu wa James Elder, msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF ambaye amejiunga na juhudi za kufikisha misaada ya kibinadamu katika eneo lililozingirwa.
Afya
Kuelekea siku ya Ukimwi duniani tarehe 1 mwezi ujao wa Desemba, UNAIDS ambalo ni shirika la Umoja wa Mataifa la kukabili Ukimwi linasihi serikali kote duniani kutumia ipasavyo nguvu ya jamii mashinani ili hatimaye kutokomeza ugonjwa wa Ukimwi ifikapo mwaka 2030.