Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Ukuaji wa Kiuchumi Wanawake wajasiriamali lazima watambuliwe kama wabunifu na wasanifu wa mabadiliko ya kiuchumi si wanufaika tu wa fursa zinazotolewa.

Habari Nyinginezo

Msaada wa Kibinadamu Takriban siku 10 baada ya kimbunga cha kitropiki cha Fytia kuleta mvua kubwa na mafuriko nchini Madagascar, kimbunga kingine cha Gezani chenye kasi ya upepo wa kilomita 250 kwa saa kimepiga na kuiacha bandari kuu ya kisiwa hicho ikiwa magofu ambapo asilimia 80 ya mji wa Toamasina imeharibiwa vibaya. 
Sheria na Kuzuia Uhalifu Leo tarehe 12 Februari ni siku ya Kimataifa ya Kuzuia Itikadi Kali Zinazochochea Ugaidi, ikiwa ni maadhimisho ya nne tangu kuanzishwa kwake na mwaka huu kauli mbiu inasema “Kuzuia ugaidi wa kikatili katika enzi ya teknolojia mpya na zinazoibuka”.