12 APRILI 2024 12 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunaangazia kumbukizi wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, na wakimbizi wa Sudan wanaovuka mpaka kuelekea nchini Sudan Kusini. Makala na mashinani tunakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kulikoni?
11 APRILI 2024 11 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo Alice Nderitu, Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifa katika kuzuia mauaji ya kimbari akiwa Kigali hivi majuzi kwenye kumbukizi anamulika nini kifanyike kuhakikisha kitendo kama hicho kinasalia historia. Pia tunakuletea muhtasari wa habari za Gaza, Sudan, Uganda na uchambuzi wa neno “PAMBAJIO”.
09 APRILI 2024 9 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka mjini Kigali ambako kumbukumbu ya mauaji ya kimbari imefanyika mwishoni mwa wiki na itaendelea kwa siku 100. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani tunakupeleka nchini Sudan Kusini.
08 APRILI 2024 8 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunaangazia ombi la Palestina kujiunga rasmi kama mwanachama wa Umoja wa Mataifa, na uwezeshaji wa wanake ambapo tunatembelea mkimbizi katika kambi ya Kakuma nchini Kenya. Makalatunakupeleka nchini DRC na mashinani nchini Tanzania.
05 APRILI 2024 5 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunaangazia vita katika Ukanda wa Gaza ukielekea miezi siti hapo kesho, na programu ya mlo shuleni nchini Sudan Kusini. Makala tunakupeleka nchini Rwanda na mashinani nchini DRC, kulikoni?”.
04 APRILI 2024 4 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia ujumuishwaji wa wanawake katika masuala ya kifedha kwa lengo la kutimiza lengo la Umoja wa Mataifa la usawa wa kijinsia katika Nyanja zote. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na katika kujifunza kiswahili tunakuletea ufafanuzi na tofauti ya maneno “Adhuhuri na Alasiri”.
03 APRILI 2024 3 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Makala inatupeleka nchini kenya na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?
02 APRILI 2024 2 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika harakati za kuwainua wanawake na wasichana nchini Tanzania Tanzania, ambapo Paulina Ngurumwa kutoka KINNAPA Development Programme, shirika lisilo la kiserikali lililoanzishwa na wanajamii ya Wilaya ya Kiteto, Mkoani Manyara anazungumza na Anold Kayanda wa idhaa hii. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.
01 APRILI 2024 1 Aprili 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tunaangazia msaada wa kibinadamu Gaza, na jitihada za kukabili habari potofu nchini DR Congo. Makala tunaku[eleka nchini Kenya na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?
28 MACHI 2024 28 Machi 2024 Jarida la Habari Facebook Twitter Hii leo jaridani tnakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya kufuatilia jitihada za mashirika za kuhahikisha watoto waathrika wa mimba za utotoni wameweza kurejea shule. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za Gaza, Haiti na wakimbizi wakimbizi wa Sudan Kusini. Katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunapata maana ya neno “UDENDA.”