Guterres alaani shambulio Iran lililoua zaidi ya watu 100
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali shambulio lililofanyika hii leo huko nchini Iran na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100, huku mamlaka za Iran zikiripoti kuwa zaidi ya watu 170 wamejeruhiwa.