Ghasia Haiti zatumbukiza watoto kwenye vikundi vilivyojihami- UNICEF
Nchini Haiti mapigano yanayohusisha matumizi ya silaha kutoka vikundi vilivyojihami yamesababisha watoto nao kutumikishwa kwenye vikundi hivyo limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF.