Kwa nini Haiti inatoa ombi la kuanzisha ujumbe mpya wa Umoja wa Mataifa
Kuanzishwa kwa ujumbe wa kitaifa wa msaada wa usalama nchini Haiti kutajadiliwa wiki hii na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakati taifa hilo la Caribbea likiendelea kukabiliwa na mzozo wa ghasia na ukosesefu wa usalama unaosababishwa na magenge ya kiharifu ambayo yamekita mizizi katika nchi hiyo.