Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Baba na mwanae wakiwa wamebeba hema la familia kwenye kambi ya Kerama huko Kaskazini mwa Syria karibu na eneo la Bab Al-Hawa mpakani na Uturuki.(Maktaba)
UNHCR

Kutopitishwa azimio la Baraza la Usalama ni hatari kwa Wasyria 

Baada ya jana Jumanne nia ya Baraza la Usalama kupitisha azimio ambalo ningeruhusu uvushaji misaada ya kibinadamu katika kivuko cha Bab al-Hawa kwenye mpaka wa Syria na Uturuki kaskazini-magharibi mwa Syria ili ikaokoe maisha ya wananchi wa nchi hiyo ambao wamekuwa kwenye zaidi ya miaka 12 ya vita kukwama kutokana na Urusi kupiga kura ya turufu kulipinga azimio hilo lingerefusha operesheni hiyo kwa miezi tisa mbele baada ya kufikia ukomo juzi tarehe 10 Julai, hofu sasa ni kuwa matokeo yake yatakuwa maumivu zaidi kwa wananchi wa Syria. 

Sauti
2'6"
Zara Bulama akiwa amebeba mmoja wa mbuzi wake aliopokea kutoka FAO katika eneo la Gongulong, Maiduguri, Nigeria, mwezi Juni 2021.
UNOCHA/Damilola Onafuwa

Katikati ya mchakato: Njia 5 zinazotumiwa na UN kuharakisha ufikiaji wa SDGs

Katika nusu ya mchakato wa hatua za kufikia ajenda kabambe ya 2030 ya Maendeleo Endelevu, nchi wanachama, wavumbuzi, na washawishi wamekusanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa leo Jumatatu wakati Baraza la uchumi na kijamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC) litakuwa linaonyesha mafanikio yaliypopatikana baada ya janga la COVID-19 katika harakati za kuelekea utimizaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs), likizindua ripoti yake ya hivi karibuni ya maendeleo.