Elimu ya awali kwa watoto ni msingi wa mustakbali wao: UNICEF
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linashirikiana na wadau kuisaidia serikali ya Kenya katika kaunti ya Turkana kuhakikisha elimu ya awali inawafikia watoto wote hususan kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma. Flora Nducha anatupasha zaidi katika tarifa hii