UNMAS yafanikisha utiaji alama kwenye silaha DRC
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, kupitia ofisi inayohusika na kutegua mabomu UNMAS, inaendesha kazi ya kuweka alama kwenye silaha za polisi na jeshi la DRC.