Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Wafanyakazi wakichuja maharagwe katika soko la APMC, Mumbai, India.
©FAO/Atul Loke

Hatua za muda mfupi na mrefu kuepuka janga la ukosefu wa chakula kwa siku zijazo

Wakuu wa mashirika ya kimataifa likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, Benki ya Dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani, WFP, Shirika la Biashara Duniani, WTO wametoa tamko la pamoja hii leo kuhusu janga la Uhakika wa Chakula Duniani na hatua za kuchukua kuepuka hali kama hii ya sasa kwa siku zijazo.