Wataalamu wa UN walaani ubaguzi dhidi ya wageni nchini Afrika kusini
Wataalamu wa UN walaani ubaguzi dhidi ya wageni nchini Afrika kusini
Haki za binadamu
Wataalamu wa ubaguzi na ubaguzi wa rangi wa Umoja wa Mataifa wamelaani kuongezeka kwa vitendo vya ubaguzi dhid ya raia wa kigeni nchini Afrika kusini na kutaka nchi hiyo ihakikishe kuna uwajibikaji dhidi ya ubaguzi kwa wageni, kauli za chuki na ubaguzi wa rangi.