Chonde chonde ongezeni fedha tunusuru wakimbizi Burkina Faso- UNHCR
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR lina hofu kubwa juu ya ongezeko la mashambulizi na ghasia vinavyofanywa na makundi yalioyjihami dhidi ya raia nchini Burkina Faso.