Ningalikataliwa kuingia Uganda, ningaliuawa – Mkimbizi kutoka DRC
Tarehe 20 mwezi huu wa Juni ilikuwa ni siku ya wakimbizi duniani ambapo Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa ilipata fursa ya kuzungumza na wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC walioko nchini Uganda.