Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Waliokuwa wapiganaji wa FARC wakiwa kwenye mazungumzo na viongozi wa kijami nchini Colombia kama njia ya kujumuishwa tena kwenye jamii.Htua hiyo imewezesha kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini humo
Jennifer Moreno/UN Verification Mission

Hatua ya wagombea urais Colombia ni ya kuigwa:Zeid

Kamishina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa , Zeid Ra'ad Al Hussein amepongeza hatua ya wagombea kiti cha urais nchini Colombia ya kuapa kuheshimu , kulinda na kuhakikisha haki za binadamu endapo wakichaguliwa na kukiita ni kitendo cha  kuvutia na kisicho na kifani.