Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Msichana mkimbizi akifanya mtihani shule ya msingi Moghadishu kwenye kambi ya Kakuma nchini Kenya
UNHCR/S.Otieno

Kutegemea msaada ni mtihani kwa elimu ya nchi za kipato cha chini na cha kati:Kikwete

Hali ya kuwa tegemezi wa misaada inadumaza nchi nyingi kiuchumi na hata kijamii, ikiwemo katika maendeleo ya elimu. Sasa nchi masikini na zenye kipato cha wastani zinachagizwa kuondokana na hali hiyo ili kujikwamua na mzunguko wa umasikini ikiwemo elimu duni na jopo la kimataifa la ufadhili kwa ajili ya elimu limezindua ombi la dola bilioni moja kuzisaidia nchi hizo kuepukana na utegemezi.

Sauti
1'44"