Chanjo ni muhimu sana katika kuokoa masiha ya mamilioni ya watu duniani:UM
Kampeni ya kimataifa ya Umoja wa Mataifa kutanabaisha umuhimu wa chanjo katika kuokoa maisha hususani ya watoto itamalizika Jumapili wiki hii baada ya wiki nzima iliyoambatana na chanjo, mafunzo, maonesho na mijadala duniani kote.