Hapa na pale
Kwenye majadiliano ya hadhara ya Baraza la Usalama kuzingatia hatua za kuwapatia raia wanaojikuta kwenye mazinigira ya mapigano hifadhi bora, KM Ban Ki-moon alihimza kwa Baraza kuhakikisha raia wote wanaohitajia misaada ya kihali hupatiwa misaada hiyo kidharura bila ya kuchelewa.