Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Usalama latoa mwito kwa Ethopia na Eritrea kutanzua mzozo wa mpakani

Baraza la Usalama latoa mwito kwa Ethopia na Eritrea kutanzua mzozo wa mpakani

Baraza la Usalama limetoa mwito mapema wiki hii kuzihimiza Eritrea na Ethopia kutekeleza bila ya kuchelewesha uwamuzi wa 2002 juu ya mstari wa mpaka wao wa pamoja, likisisitiza haja ya mataifa hayo mawili jirani kutanzua matatizo yao kwa amani.