Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Darfur: wajumbe wa UM na AU waimarisha juhudi za kutafuta muelewano kati ya waasi.

Darfur: wajumbe wa UM na AU waimarisha juhudi za kutafuta muelewano kati ya waasi.

Majumbe maalum wa Umoja wa Mataifa, kwa ajili ya mzozo wa Darfur, Jan Eliasson na Salim Ahmed Salim wa Jumuia ya Afrika AU, wamesema wanaimarisha juhudi zao za kuyahimiza makundi makubwa yanayotengana huko Darfur kutafuta muelewano wa pamoja kabla ya mkutano wa amani ulopangwa kufanyika na Serekali ya Sudan mwezi ujao.