Miaka 70 ya Tume ya sheria ya UN yaleta nuru
Tume ya sheria ya Umoja wa Mataifa mwaka huu inatimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwake ambapo imeelezwa kuwa uwepo wake umekuwa na mafanikio makubwa.
Tume ya sheria ya Umoja wa Mataifa mwaka huu inatimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwake ambapo imeelezwa kuwa uwepo wake umekuwa na mafanikio makubwa.
Umoja wa Mataifa leo umetoa wito kwa serikali ya Algeria kusitisha vitendo vya kuwafukuza kwa pamoja wahamiaji hususani kutoka Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Ingawa idadi kamili ya waliotimuliwa haijajulikana inaaminika ni maelfu ya wahamiaji.
Utoaji chanjo dhidi ya Ebola ukiendelea huko jimbo la Equateur nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imeelezwa kuwa idadi ya washukiwa wa Ebola sasa imefikia 28.
Wakati dunia hivi sasa ikikabiliwa na changamoto chungu nzima zinazoongeza mzigo katika huduma za afya, iwe vita, majanga ya asili, mabadiliko ya tabia nchi na hata milipuko ya magonjwa hakuna kilicho muhimu kama kuwa na afya njema.
Wajumbe na viongozi wa kidini kutoka Sudan Kusini, wanaohudhuria mkutano wa ngazi za juu wa jukwaa la kuongeza matumaini ya amani nchini mwao, wamejikuta wakibubujika machozi kutokana na mateso waliyoshuhudia nchini mwao.
Huduma ya intaneti iliyofungwa katika kambi ya wakimbizi huko jimbo la Diffa, mashariki mwa Niger imeanza kuzaa matunda kwa mashirika ya misaada na wakimbizi ambao wote wananufaika na huduma ya simu na intaneti
Shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR limeshtushwa na wimbi kubwa la wakimbizi wapya waliokimbilia kijiji cha Kazawi katika mkoa wa Bas- Uele, kaskazini mwa DR Congo wakitokea kusini mashariki mwa jamhuri ya Afrika ya kati CAR.
Shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM limesambaza zaidi ya miche milioni 2 ya mmea aina ya mvetiva kwa ajili ya kudhibiti mmomonyoko wa udongo kwenye kambi za wakimbizi warohingya huko Bangladesh.
Mchumi mkuu wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya uchumi na masuala ya kijamii UNDESA, asema matarajio ya muda mfupi kwa uchumi wa dunia yameendelea kuboreka lakini ameonya kwamba hali ya sintofahamu bado pia inaendelea.
Utafiti mpya umebaini kuwa watu ambao kwao unene au utipwatipwa ni asili au jambo la kurithi kwenye familia zao wako hatarini zaidi kuwa wavutaji sigara, na wanaweza kuvuta sigara kwa kiwango kikubwa zaidi. Grace Kaneiya na ripoti kamili.