Ripoti inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa inaonya juu ya kuongezeka kwa tishio la moto wa nyika
Moto wa nyika unakadiriwa kuongezeka kwa asilimia 50 ifikapo mwisho wa karne hii kutokana na mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi na mabadiliko ya matumizi ya ardhi.