'Tuko katika mbio dhidi ya wakati kusaidia watu wa Afghanistan' – Katibu Mkuu UN
Akielezea "jinamizi linalotokea nchini Afghanistan", Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, hii leo ameonya kwamba ulimwengu uko "katika mbio dhidi ya wakati kusaidia watu wa Afghanistan."