Hatua mpya zatangazwa kukabili Ebola DRC, David Gressly kushika hatamu
Ikiwa ni mwezi wa tisa sasa tangu kuanza kwa mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na idadi ya wagonjwa wapya ikizidi kuongezeka katika wiki za hivi karibuni, Umoja wa Mataifa hii leo umetangaza hatua mpya za kuimarisha harakati zake dhidi ya ugonjwa huo hatari.