Sudan Kusini yajiandaa dhidi ya Ebola, yaanza kutoa chanjo kwa wahudumu wa afya
Wizara ya afya nchini Sudan Kusini imeanza kuwapatia chanjo dhidi ya ebola, wahudumu wa afya na watendaji wengine walio mstari wa mbele kama mkakati wa kujikinga dhidi ya ugonjwa huo iwapo utaibuka nchini humo.