Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNMISS yawasweka rumande  walinda amani 46 Sudan Kusini

Walinda amani katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, UNMISS. Picha: UM/JC McIlwaine

UNMISS yawasweka rumande  walinda amani 46 Sudan Kusini

Amani na Usalama

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) umewachukulia hatua ya kinidhamu askari walinda amani wa Umoja wa Mataifa 46 wanaotuhumiwa kujihusisha katika vitendo vya unyanyasaji wa kingono katika mji wa Wau Sudan kusini.