UNMISS yawasweka rumande walinda amani 46 Sudan Kusini
Amani na Usalama
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) umewachukulia hatua ya kinidhamu askari walinda amani wa Umoja wa Mataifa 46 wanaotuhumiwa kujihusisha katika vitendo vya unyanyasaji wa kingono katika mji wa Wau Sudan kusini.