Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Wakimbizi wa Burundi katika  makazi ya Mulongwe huko Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
UNHCR/Georgina Goodwin

Watu 80,000 waathiriwa na mafuriko makubwa DRC

 Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR Andrej Mahecic hii ameviambia vyombo vya habari mjini Geneva Uswisi kuwa UNHCR inashirikiana na mamlaka pamoja na wadau nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kutoa msaada kwa watu 80,000 ambao wameathiriwa na mafuriko makubwa katika jimbo la Kivu Kusini. 

Walinda amani wa MONUSCO wameweka mikakati kudhibiti kuenea kwa COVID-19
MONUSCO/Michael Ali

UNHCR DRC yahofia ikiwa mlipuko wa COVID-19 utatokea katika kambi za wakimbizi wa ndani

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia wakimbizi UNHCR linasema vurugu na kukosekana kwa usalama vinavyoendelea nchini Jamhuri ya kidemkrasia ya Congo, DRC vinaweza kusababisha ugumu kwa watu waliofurushwa kuweza kufikia vituo vya huduma ya afya kwa hivyo shirika hilo kwa kushirikiana na wadau wake linafanya kila liwezekanalo kudhibiti maambukizi ya magonjwa kama vile COVID-19.

Sauti
1'51"